Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 10:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndipo Samweli akawaambia watu wote: “Je, mmemwona yule ambaye Yehova amemchagua,+ kwamba hakuna yeyote kama yeye kati ya watu wote?” Nao watu wote wakaanza kupiga kelele na kusema: “Mfalme na aishi!”+

  • Nehemia 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo nikamwambia mfalme: “Mfalme na aishi mpaka wakati usio na kipimo!+ Kwa nini uso wangu usiwe na huzuni wakati lile jiji,+ nyumba ya makaburi ya mababu zangu,+ limefanywa ukiwa, na malango yake yameteketezwa kwa moto?”+

  • Danieli 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wakajibu na kumwambia Mfalme Nebukadneza: “Ee mfalme, uishi mpaka nyakati zisizo na kipimo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki