Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo nikamwambia mfalme: “Mfalme na aishi mpaka wakati usio na kipimo!+ Kwa nini uso wangu usiwe na huzuni wakati lile jiji,+ nyumba ya makaburi ya mababu zangu,+ limefanywa ukiwa, na malango yake yameteketezwa kwa moto?”+

  • Danieli 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Wakaldayo wakasema na mfalme katika lugha ya Kiaramu:+ “Ee mfalme, uishi mpaka wakati usio na kipimo.+ Waambie watumishi wako ndoto hiyo, nasi tutaonyesha tafsiri yake.”+

  • Danieli 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Malkia naye, kwa sababu ya maneno ya mfalme na wakuu wake, akaingia ndani ya jumba la karamu. Malkia akasema: “Ee mfalme, uishi mpaka wakati usio na kipimo.+ Usiache mawazo yako yakuogopeshe, wala rangi ya uso wako ibadilike.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki