3 Ndipo nikamwambia mfalme: “Mfalme na aishi mpaka wakati usio na kipimo!+ Kwa nini uso wangu usiwe na huzuni wakati lile jiji,+ nyumba ya makaburi ya mababu zangu,+ limefanywa ukiwa, na malango yake yameteketezwa kwa moto?”+
4 Basi Wakaldayo wakasema na mfalme katika lugha ya Kiaramu:+ “Ee mfalme, uishi mpaka wakati usio na kipimo.+ Waambie watumishi wako ndoto hiyo, nasi tutaonyesha tafsiri yake.”+
10 Malkia naye, kwa sababu ya maneno ya mfalme na wakuu wake, akaingia ndani ya jumba la karamu. Malkia akasema: “Ee mfalme, uishi mpaka wakati usio na kipimo.+ Usiache mawazo yako yakuogopeshe, wala rangi ya uso wako ibadilike.