Mwanzo 41:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ikawa kwamba asubuhi, roho yake ikafadhaika.+ Basi akawaita makuhani wote wenye kufanya uchawi wa Misri+ na watu wake wote wenye hekima,+ naye Farao akawasimulia ndoto zake.+ Lakini hakukuwa na yeyote aliyeweza kumtafsiria Farao ndoto hizo.
8 Ikawa kwamba asubuhi, roho yake ikafadhaika.+ Basi akawaita makuhani wote wenye kufanya uchawi wa Misri+ na watu wake wote wenye hekima,+ naye Farao akawasimulia ndoto zake.+ Lakini hakukuwa na yeyote aliyeweza kumtafsiria Farao ndoto hizo.