Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nami nitayatia majiji yenu kwenye upanga+ na kufanya ukiwa patakatifu penu,+ wala sitanusa harufu zenu za kutuliza.+

  • Yeremia 26:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 mimi, kwa upande wangu, nitaifanya nyumba hii kama ile iliyo katika Shilo,+ na jiji hili nitalifanya kuwa laana kwa mataifa yote ya dunia.’”’”+

  • Yeremia 52:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme na nyumba zote za Yerusalemu;+ na kila nyumba kubwa akaiteketeza kwa moto.+

  • Ezekieli 24:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 ‘Iambie nyumba ya Israeli: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama, mimi ninapatia unajisi patakatifu pangu,+ fahari ya nguvu zenu,+ kitu chenye kutamanika machoni penu+ na kitu ambacho nafsi yenu hukihurumia, nao wana wenu na binti zenu ambao mmewaacha nyuma—wataanguka kwa upanga.+

  • Mika 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi kwa sababu yenu Sayuni utalimwa kama shamba, na Yerusalemu litakuwa marundo ya mabomoko,+ na mlima wa nyumba hiyo utakuwa kama mahali pa juu pa msitu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki