Yeremia 38:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nao wanawatoa nje wake zako wote na wana wako wote na kuwapeleka kwa Wakaldayo, nawe mwenyewe hutaponyoka mkononi mwao,+ lakini utakamatwa kwa mkono wa mfalme wa Babiloni, na kwa sababu yako jiji hili litateketezwa kwa moto.”+ Amosi 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami nitapeleka moto ndani ya Yuda, nao utaiteketeza minara ya makao ya Yerusalemu.’+
23 Nao wanawatoa nje wake zako wote na wana wako wote na kuwapeleka kwa Wakaldayo, nawe mwenyewe hutaponyoka mkononi mwao,+ lakini utakamatwa kwa mkono wa mfalme wa Babiloni, na kwa sababu yako jiji hili litateketezwa kwa moto.”+