Yeremia 38:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nao wanawatoa nje wake zako wote na wanao wote na kuwapeleka kwa Wakaldayo, nawe hutaponyoka mikononi mwao, lakini utakamatwa na mfalme wa Babiloni,+ na kwa sababu yako, jiji hili litateketezwa kwa moto.”+
23 Nao wanawatoa nje wake zako wote na wanao wote na kuwapeleka kwa Wakaldayo, nawe hutaponyoka mikononi mwao, lakini utakamatwa na mfalme wa Babiloni,+ na kwa sababu yako, jiji hili litateketezwa kwa moto.”+