Mambo ya Walawi 26:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nami nitayatia majiji yenu kwenye upanga+ na kufanya ukiwa patakatifu penu,+ wala sitanusa harufu zenu za kutuliza.+ Yeremia 34:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “‘Tazama, mimi ninaamuru,’ asema Yehova, ‘na hakika mimi nitawarudisha katika jiji hili,+ nao watapiga vita juu yake na kuliteka na kuliteketeza kwa moto;+ na majiji ya Yuda nitayafanya kuwa mahame yenye ukiwa bila mkaaji.’”+ Yeremia 37:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na hakika Wakaldayo watarudi tena na kupiga vita juu ya jiji hili na kuliteka na kuliteketeza kwa moto.”+
31 Nami nitayatia majiji yenu kwenye upanga+ na kufanya ukiwa patakatifu penu,+ wala sitanusa harufu zenu za kutuliza.+
22 “‘Tazama, mimi ninaamuru,’ asema Yehova, ‘na hakika mimi nitawarudisha katika jiji hili,+ nao watapiga vita juu yake na kuliteka na kuliteketeza kwa moto;+ na majiji ya Yuda nitayafanya kuwa mahame yenye ukiwa bila mkaaji.’”+
8 Na hakika Wakaldayo watarudi tena na kupiga vita juu ya jiji hili na kuliteka na kuliteketeza kwa moto.”+