Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme+ na nyumba zote za Yerusalemu;+ na nyumba ya kila mtu mkuu akaiteketeza kwa moto.+

  • Yeremia 32:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na Wakaldayo wanaopiga vita juu ya jiji hili wataingia ndani na kuliwasha jiji hili na kuliteketeza kwa moto+ na nyumba ambazo juu ya paa zake wamemfukizia Baali moshi wa dhabihu na kuimiminia miungu mingine matoleo ya kinywaji kwa kusudi la kunitia uchungu.’+

  • Yeremia 38:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nao wanawatoa nje wake zako wote na wana wako wote na kuwapeleka kwa Wakaldayo, nawe mwenyewe hutaponyoka mkononi mwao,+ lakini utakamatwa kwa mkono wa mfalme wa Babiloni, na kwa sababu yako jiji hili litateketezwa kwa moto.”+

  • Yeremia 39:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Wakaldayo wakateketeza kwa moto nyumba ya mfalme na nyumba za watu,+ nao wakazibomoa kuta za Yerusalemu.+

  • Yeremia 52:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme na nyumba zote za Yerusalemu;+ na kila nyumba kubwa akaiteketeza kwa moto.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki