Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na nyumba hii itakuwa marundo ya mabomoko.+ Kila mtu anayepita kando yake atatazama kwa mshangao+ naye atapiga mluzi na kusema, ‘Kwa sababu gani Yehova aliitendea hivi nchi hii na nyumba hii?’+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye akaiteketeza nyumba ya Mungu wa kweli+ na kuubomoa ukuta+ wa Yerusalemu; na minara yake yote ya makao wakaiteketeza kwa moto na pia vyombo vyake vyote vyenye kutamanika,+ ili kufanya uharibifu.+

  • Zaburi 74:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Uziinue hatua zako kwenye ukiwa wenye kudumu muda mrefu.+

      Kila kitu katika mahali patakatifu adui amekitendea vibaya.+

  • Zaburi 79:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 79 Ee Mungu, mataifa yameingia katika urithi wako;+

      Wamelitia unajisi hekalu lako takatifu;+

      Wamefanya Yerusalemu kuwa rundo la mabomoko.+

  • Isaya 64:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nyumba yetu ya utakatifu na uzuri,+ ambayo ndani yake mababu zetu walikusifu wewe,+ imekuwa kitu cha kuteketezwa motoni;+ na kila kimoja cha vitu vyetu vyenye kutamanika+ kimeharibika.

  • Yeremia 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 nitaitendea pia nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake,+ ambayo mnaitegemea,+ na mahali ambapo niliwapa ninyi na mababu zenu, kama nilivyotendea Shilo.+

  • Maombolezo 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Adui amenyoosha mkono wake juu ya vitu vyake vyote vyenye kutamanika.+

      Kwa maana ameona mataifa ambayo yameingia katika patakatifu pake,+

      Ambayo uliamuru kwamba wasiingie katika kutaniko lako.

  • Maombolezo 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova ameitupilia mbali madhabahu yake.+ Patakatifu pake amepakataa kwa dharau.+

      Ametia katika mkono wa adui kuta za minara ya makao yake.+

      Wamepaaza sauti zao ndani ya nyumba ya Yehova, kama katika siku ya sherehe.+

  • Mika 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi kwa sababu yenu Sayuni utalimwa kama shamba, na Yerusalemu litakuwa marundo ya mabomoko,+ na mlima wa nyumba hiyo utakuwa kama mahali pa juu pa msitu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki