8 Na nyumba hii itakuwa marundo ya mabomoko.+ Kila mtu anayepita kando yake atatazama kwa mshangao+ naye atapiga mluzi na kusema, ‘Kwa sababu gani Yehova aliitendea hivi nchi hii na nyumba hii?’+
19 Naye akaiteketeza nyumba ya Mungu wa kweli+ na kuubomoa ukuta+ wa Yerusalemu; na minara yake yote ya makao wakaiteketeza kwa moto na pia vyombo vyake vyote vyenye kutamanika,+ ili kufanya uharibifu.+
11 Nyumba yetu ya utakatifu na uzuri,+ ambayo ndani yake mababu zetu walikusifu wewe,+ imekuwa kitu cha kuteketezwa motoni;+ na kila kimoja cha vitu vyetu vyenye kutamanika+ kimeharibika.
14 nitaitendea pia nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake,+ ambayo mnaitegemea,+ na mahali ambapo niliwapa ninyi na mababu zenu, kama nilivyotendea Shilo.+
12 Basi kwa sababu yenu Sayuni utalimwa kama shamba, na Yerusalemu litakuwa marundo ya mabomoko,+ na mlima wa nyumba hiyo utakuwa kama mahali pa juu pa msitu.