Kumbukumbu la Torati 29:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 naam, mataifa yote yatalazimika kusema, ‘Kwa nini Yehova aliitendea hivi nchi hii?+ Joto la hasira hii kuu ni la nini?’ Yeremia 22:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na kwa kweli mataifa mengi watapita kando ya jiji hili na kila mmoja atamwambia mwenzake: “Kwa nini Yehova alilitendea hivi jiji hili kuu?”+
24 naam, mataifa yote yatalazimika kusema, ‘Kwa nini Yehova aliitendea hivi nchi hii?+ Joto la hasira hii kuu ni la nini?’
8 Na kwa kweli mataifa mengi watapita kando ya jiji hili na kila mmoja atamwambia mwenzake: “Kwa nini Yehova alilitendea hivi jiji hili kuu?”+