7 mimi pia nitawakatilia mbali Israeli kutoka juu ya uso wa nchi ambayo nimewapa;+ na ile nyumba ambayo nimeitakasa kwa ajili ya jina langu nitaitupa kutoka mbele zangu,+ na Israeli hakika watakuwa neno la kimethali+ na shutuma kati ya vikundi vyote vya watu.
21 Na nyumba hii iliyokuwa marundo ya mabomoko,+ kila mtu anayepita kando yake atatazama kwa mshangao+ na kwa hakika aseme, ‘Kwa sababu gani Yehova aliitendea hivi nchi hii na nyumba hii?’+