Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Nawe utakuwa kitu cha kushangaza,+ neno la kimethali+ na shutuma kati ya vikundi vyote vya watu ambao Yehova atakuongoza kwao.

  • Zaburi 44:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Umetufanya kuwa neno la kimethali kati ya mataifa,+

      Kuwa kitu cha kutikisiwa kichwa kati ya vikundi vya mataifa.+

  • Yoeli 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Makuhani, walio wahudumu wa Yehova, na walie kati ya ukumbi na madhabahu,+ wakisema, ‘Ee Yehova, wasikitikie watu wako, usiufanye urithi wako kuwa shutuma,+ mataifa wawatawale. Kwa nini waseme kati ya makabila ya watu: “Yuko wapi Mungu wao?” ’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki