Kumbukumbu la Torati 32:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Isingalikuwa kwa sababu niliogopa usumbufu kutoka kwa adui,+Kwamba wapinzani wao wangaliweza kuelewa vibaya,+Ili waseme: “Mkono wetu umeshinda,+Na si Yehova aliyefanya mambo haya yote.”+ Zaburi 42:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wale wanaonionyesha uadui wamenishutumu kwa mauaji dhidi ya mifupa yangu,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+ Zaburi 79:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa nini mataifa yaseme: “Mungu wao yuko wapi?”+Na ijulikane katika mataifa mbele ya macho yetu+Juu ya kulipiza kisasi damu ya watumishi wako ambayo imemwagwa.+ Zaburi 115:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa nini mataifa yaseme:+“Yuko wapi, sasa, Mungu wao?”+ Mika 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na adui yangu ataona, aibu itamfunika,+ yeye aliyekuwa akiniambia: “Yuko wapi, Yehova Mungu wako?”+ Macho yangu mwenyewe yatamtazama huyo mwanamke.+ Sasa atakuwa mahali pa kukanyaga-kanyaga, kama matope ya barabarani.+
27 Isingalikuwa kwa sababu niliogopa usumbufu kutoka kwa adui,+Kwamba wapinzani wao wangaliweza kuelewa vibaya,+Ili waseme: “Mkono wetu umeshinda,+Na si Yehova aliyefanya mambo haya yote.”+
10 Wale wanaonionyesha uadui wamenishutumu kwa mauaji dhidi ya mifupa yangu,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+
10 Kwa nini mataifa yaseme: “Mungu wao yuko wapi?”+Na ijulikane katika mataifa mbele ya macho yetu+Juu ya kulipiza kisasi damu ya watumishi wako ambayo imemwagwa.+
10 Na adui yangu ataona, aibu itamfunika,+ yeye aliyekuwa akiniambia: “Yuko wapi, Yehova Mungu wako?”+ Macho yangu mwenyewe yatamtazama huyo mwanamke.+ Sasa atakuwa mahali pa kukanyaga-kanyaga, kama matope ya barabarani.+