Kutoka 32:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa nini Wamisri+ waseme, ‘Aliwatoa kwa nia mbaya ili awaue katikati ya milima na kuwaangamiza kutoka katika uso wa nchi’?+ Geukia mbali uiache hasira yako inayowaka+ na ujute+ kuhusu uovu huo juu ya watu wako. Hesabu 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 ‘Kwa sababu Yehova hakuweza kuwaleta watu hawa katika nchi ambayo aliwaapia, aliwaua nyikani.’+
12 Kwa nini Wamisri+ waseme, ‘Aliwatoa kwa nia mbaya ili awaue katikati ya milima na kuwaangamiza kutoka katika uso wa nchi’?+ Geukia mbali uiache hasira yako inayowaka+ na ujute+ kuhusu uovu huo juu ya watu wako.