Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 42:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku,+

      Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+

  • Zaburi 79:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa nini mataifa yaseme: “Mungu wao yuko wapi?”+

      Na ijulikane katika mataifa mbele ya macho yetu+

      Juu ya kulipiza kisasi damu ya watumishi wako ambayo imemwagwa.+

  • Zaburi 115:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa nini mataifa yaseme:+

      “Yuko wapi, sasa, Mungu wao?”+

  • Danieli 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi sasa ikiwa mko tayari ili mnaposikia sauti ya baragumu, zumari, zeze, kinubi chenye pembe tatu, kinanda, zumari-tete na aina zote za vyombo vya muziki,+ mwanguke chini na kuiabudu sanamu ambayo nimeitengeneza, ni vema. Lakini msipoabudu, mtatupwa wakati huohuo ndani ya tanuru inayowaka moto. Na ni mungu gani huyo anayeweza kuwaokoa ninyi kutoka mikononi mwangu?”+

  • Yoeli 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Makuhani, walio wahudumu wa Yehova, na walie kati ya ukumbi na madhabahu,+ wakisema, ‘Ee Yehova, wasikitikie watu wako, usiufanye urithi wako kuwa shutuma,+ mataifa wawatawale. Kwa nini waseme kati ya makabila ya watu: “Yuko wapi Mungu wao?” ’+

  • Mathayo 27:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Ameweka tegemeo lake katika Mungu; acheni Yeye sasa amwokoe+ ikiwa Yeye anamtaka, kwa maana alisema, ‘Mimi ni Mwana wa Mungu.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki