Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lakini Farao akasema: “Yehova ni nani,+ hivi kwamba mimi niitii sauti yake na kuwaruhusu Israeli waende zao?+ Simjui Yehova hata kidogo+ na tena sitawaruhusu Israeli waende zao.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na sasa msiache Hezekia awadanganye+ wala kuwashawishi+ ninyi hivyo wala msimwamini, kwa maana hakuna mungu yeyote wa taifa lolote au ufalme aliyeweza kuwakomboa watu wake kutoka mkononi mwangu na kutoka mkononi mwa mababu zangu. Basi, Mungu wenu atawezaje kuwakomboa ninyi kutoka mkononi mwangu!’”+

  • Isaya 36:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ni miungu gani kati ya miungu yote ya nchi hizi ambayo imeikomboa nchi yao kutoka mkononi mwangu+ hivi kwamba Yehova akomboe Yerusalemu kutoka mkononi mwangu?”’”+

  • Isaya 37:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juu yake?

      Nawe umepaaza sauti+ yako juu ya nani

      Na kuinua macho+ yako juu?

      Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki