2 Wafalme 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Wala msiache Hezekia awafanye ninyi mkamtegemee Yehova,+ na kusema: “Hakika Yehova atatukomboa,+ na jiji hili halitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.”+
30 Wala msiache Hezekia awafanye ninyi mkamtegemee Yehova,+ na kusema: “Hakika Yehova atatukomboa,+ na jiji hili halitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.”+