2 Wafalme 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi Rabshake+ akawaambia: “Tafadhali, mwambieni Hezekia, ‘Mfalme mkuu,+ mfalme wa Ashuru, amesema hivi: “Ni tumaini gani hili ambalo umelitegemea?+ 2 Wafalme 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juuyake?Nawe umepaaza sauti+yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+ Zaburi 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nimemkimbilia Yehova.+Mnawezaje kuthubutu kuiambia nafsi yangu:“Kimbieni kwenye mlima wenu kama ndege!+ Zaburi 22:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Yeye alijitia mikononi mwa Yehova.+ Acha Yeye amwokoe!+Na amkomboe, kwa kuwa yeye amependezwa naye!”+
19 Basi Rabshake+ akawaambia: “Tafadhali, mwambieni Hezekia, ‘Mfalme mkuu,+ mfalme wa Ashuru, amesema hivi: “Ni tumaini gani hili ambalo umelitegemea?+
22 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juuyake?Nawe umepaaza sauti+yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+
11 Nimemkimbilia Yehova.+Mnawezaje kuthubutu kuiambia nafsi yangu:“Kimbieni kwenye mlima wenu kama ndege!+
8 “Yeye alijitia mikononi mwa Yehova.+ Acha Yeye amwokoe!+Na amkomboe, kwa kuwa yeye amependezwa naye!”+