Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Wala msiache Hezekia awafanye ninyi mkamtegemee Yehova,+ na kusema: “Hakika Yehova atatukomboa,+ na jiji hili halitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.”+

  • Isaya 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana yeye amesema, ‘Kwa nguvu za mkono wangu hakika nitatenda,+ na kwa hekima yangu, kwa maana nina uelewaji; nami nitaiondoa mipaka ya vikundi vya watu,+ nami hakika nitavipora vitu vyao vilivyowekwa akiba,+ nami nitawashusha wakaaji kama mwenye nguvu.+

  • Isaya 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa habari yako, wewe umesema moyoni mwako, ‘Nitaenda juu mbinguni.+ Nitakiinua kiti changu cha ufalme+ juu ya nyota+ za Mungu, nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano,+ katika sehemu za mbali zaidi za kaskazini.+

  • Mathayo 23:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yeyote yule anayejiinua atanyenyekezwa,+ na yeyote yule anayejinyenyekeza atainuliwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki