Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kumwogopa Yehova ni nidhamu ya hekima,+ na kabla ya utukufu hutangulia unyenyekevu.+

  • Mathayo 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi, yeyote atakayejinyenyekeza+ mwenyewe kama mtoto huyu mchanga ndiye aliye mkuu zaidi katika ufalme wa mbinguni;+

  • Luka 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana kila mtu anayejiinua atanyenyekezwa na yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+

  • Waroma 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana kupitia fadhili zisizostahiliwa nilizopewa namwambia kila mtu hapo kati yenu asijifikirie mwenyewe zaidi kuliko ilivyo lazima kufikiri;+ bali kufikiri ili awe na akili timamu,+ kila mmoja kama Mungu alivyomgawia kipimo+ cha imani.+

  • Waefeso 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 mkiwa na unyenyekevu kamili wa akili+ na upole, mkiwa na ustahimilivu,+ mkivumiliana katika upendo,+

  • 1 Petro 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni+ kwa wanaume wazee. Lakini ninyi nyote jifungeni unyenyekevu wa akili kuelekeana ninyi wenyewe,+ kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki