Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 11:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Chukueni nira+ yangu na mjifunze kutoka kwangu,+ kwa maana mimi ni mwenye tabia-pole+ na mnyenyekevu moyoni, nanyi mtapata burudisho+ kwa ajili ya nafsi zenu.

  • Matendo 20:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 nikimtumikia+ Bwana nikiwa na unyenyekevu mkubwa zaidi wa akili+ na machozi na majaribu yaliyonipata kwa hila+ za Wayahudi;

  • Waroma 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana kupitia fadhili zisizostahiliwa nilizopewa namwambia kila mtu hapo kati yenu asijifikirie mwenyewe zaidi kuliko ilivyo lazima kufikiri;+ bali kufikiri ili awe na akili timamu,+ kila mmoja kama Mungu alivyomgawia kipimo+ cha imani.+

  • Wafilipi 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 bila kufanya jambo lolote kwa ugomvi+ au kwa kujisifu,+ bali kwa unyenyekevu wa akili mkiwaona wengine kuwa ni bora+ kuliko ninyi,

  • 1 Petro 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni+ kwa wanaume wazee. Lakini ninyi nyote jifungeni unyenyekevu wa akili kuelekeana ninyi wenyewe,+ kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki