1 Wakorintho 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana mimi ni mdogo+ zaidi kati ya mitume, nami sifai kuitwa mtume, kwa sababu nililitesa+ kutaniko la Mungu. 1 Wathesalonike 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wala hatutafuti utukufu kutoka kwa wanadamu,+ hapana, ama kutoka kwenu ninyi au kutoka kwa wengine, ingawa tungeweza kuwa mzigo wenye gharama+ tukiwa mitume wa Kristo. 1 Petro 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 wala si kama kwa kupiga ubwana+ juu ya wale ambao ni urithi wa Mungu,+ bali kuwa vielelezo kwa kundi.+
9 Kwa maana mimi ni mdogo+ zaidi kati ya mitume, nami sifai kuitwa mtume, kwa sababu nililitesa+ kutaniko la Mungu.
6 Wala hatutafuti utukufu kutoka kwa wanadamu,+ hapana, ama kutoka kwenu ninyi au kutoka kwa wengine, ingawa tungeweza kuwa mzigo wenye gharama+ tukiwa mitume wa Kristo.
3 wala si kama kwa kupiga ubwana+ juu ya wale ambao ni urithi wa Mungu,+ bali kuwa vielelezo kwa kundi.+