Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana naogopa kwamba kwa njia fulani, nitakapofika,+ huenda nikawapata ninyi mkiwa vile ambavyo mimi sipendi nami niwe kwenu vile ambavyo ninyi hampendi, bali, badala yake, kwa njia fulani inaelekea kutakuwa na mizozo, wivu,+ milipuko ya hasira, magomvi, masengenyo, manong’onezo, majivuno, machafuko.+

  • Wafilipi 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ni kweli, wengine wanamhubiri Kristo kwa wivu na kushindana,+ lakini wengine pia kwa nia njema.+

  • Wafilipi 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 lakini wale wa kwanza hufanya hivyo kutokana na ugomvi,+ si kwa kusudi safi, kwa maana wanataka kuchochea dhiki+ juu yangu katika vifungo vyangu vya gereza.

  • Yakobo 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini ikiwa mna wivu+ mkali na ugomvi+ katika mioyo yenu, msiwe mkijigamba+ na kusema uwongo juu ya ile kweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki