Waroma 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama katika wakati wa mchana na tujiendeshe kwa adabu,+ si katika karamu za kupindukia na vipindi vya kulewa,+ si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,+ si katika mizozo+ na wivu. 1 Wakorintho 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 kwa maana bado ninyi ni wa kimwili.+ Kwa kuwa kuna wivu na mizozo kati yenu,+ je, ninyi si wa kimwili na je, hamtembei kama wanadamu wanavyotembea?+
13 Kama katika wakati wa mchana na tujiendeshe kwa adabu,+ si katika karamu za kupindukia na vipindi vya kulewa,+ si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,+ si katika mizozo+ na wivu.
3 kwa maana bado ninyi ni wa kimwili.+ Kwa kuwa kuna wivu na mizozo kati yenu,+ je, ninyi si wa kimwili na je, hamtembei kama wanadamu wanavyotembea?+