17 Kama nikifanya hilo kwa kupenda,+ nina thawabu;+ lakini kama nikifanya hilo kinyume cha kupenda kwangu, vyovyote vile nina usimamizi-nyumba+ niliokabidhiwa.
2 Na ikiwa nina zawadi ya kutoa unabii+ nami nazijua siri takatifu+ zote na ujuzi+ wote, na ikiwa nina imani yote kuweza kuhamisha milima,+ lakini sina upendo, mimi si kitu.+