Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Wengi wataniambia siku hiyo, ‘Bwana, Bwana,+ hatukutoa unabii katika jina lako, na kufukuza roho waovu katika jina lako, na kufanya matendo mengi yenye nguvu katika jina lako?’+

  • 1 Wakorintho 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hata hivyo, yeye anayetoa unabii huwajenga+ na kuwatia moyo na kuwafariji watu kwa maneno yake.

  • Ufunuo 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo nikaanguka chini mbele ya miguu yake ili kumwabudu yeye.+ Lakini yeye ananiambia: “Uwe mwangalifu! Usifanye hivyo!+ Mimi ni mtumwa mwenzako tu na wa ndugu zako walio na kazi ya kutoa ushahidi kumhusu Yesu.+ Mwabudu Mungu;+ kwa maana kutoa ushahidi kumhusu Yesu ndilo kusudi la unabii.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki