Ufunuo 22:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi, mimi Yohana ndiye niliyekuwa nikisikia na kuona mambo haya. Na nilipokuwa nimesikia na kuona, nikaanguka chini kuabudu+ mbele ya miguu ya yule malaika aliyekuwa akinionyesha mambo haya.
8 Basi, mimi Yohana ndiye niliyekuwa nikisikia na kuona mambo haya. Na nilipokuwa nimesikia na kuona, nikaanguka chini kuabudu+ mbele ya miguu ya yule malaika aliyekuwa akinionyesha mambo haya.