2 Kwa kweli naomba kwamba, nitakapokuwapo, nisitumie ujasiri kwa uhakika ule ambao nategemea kuchukua hatua za kijasiri+ juu ya wengine ambao wanatukadiria sisi kana kwamba tulitembea kulingana na tulivyo katika mwili.
2 Nimesema hapo mwanzoni na, kana kwamba nipo mara ya pili lakini sipo sasa, nawaambia kimbele wale ambao wametenda dhambi hapo mwanzoni na kwa wengine wote, kwamba ikiwa nitakuja tena sitahurumia,+