2 Nimesema hapo mwanzoni na, kana kwamba nipo mara ya pili lakini sipo sasa, nawaambia kimbele wale ambao wametenda dhambi hapo mwanzoni na kwa wengine wote, kwamba ikiwa nitakuja tena sitahurumia,+
10 Hiyo ndiyo sababu naandika mambo haya nikiwa sipo, ili, nitakapokuwapo, nisitende kwa ukali+ kulingana na mamlaka ambayo Bwana alinipa, ili kujenga+ na si kubomoa.