Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana ninaogopa kwamba huenda nitakapofika, sitawakuta mkiwa kama ninavyotaka nami sitakuwa kama mnavyotaka, badala yake, huenda kuna mizozo, wivu, milipuko ya hasira, migawanyiko, masengenyo, minong’ono,* kujivuna kwa kiburi, na machafuko.

  • 2 Wakorintho 12:20
    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
    • 20 Kwa maana naogopa kwamba kwa njia fulani, niwasilipo, huenda nikawapata nyinyi si kama vile ambavyo mimi ningeweza kutaka na huenda nikathibitika kwenu kuwa si kama ambavyo nyinyi mngeweza kutaka, bali, badala ya hivyo, kwa njia fulani yaelekea kutakuwa na zogo, wivu, visa vya hasira, magomvi, masengenyo, manong’onezo, visa vya kuwa wenye kututumuka, mivurugo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki