-
2 Wakorintho 12:20Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
20 Kwa maana naogopa kwamba kwa njia fulani, niwasilipo, huenda nikawapata nyinyi si kama vile ambavyo mimi ningeweza kutaka na huenda nikathibitika kwenu kuwa si kama ambavyo nyinyi mngeweza kutaka, bali, badala ya hivyo, kwa njia fulani yaelekea kutakuwa na zogo, wivu, visa vya hasira, magomvi, masengenyo, manong’onezo, visa vya kuwa wenye kututumuka, mivurugo.
-