-
2 Wakorintho 12:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Kwa maana naogopa kwamba kwa njia fulani, nitakapofika,+ huenda nikawapata ninyi mkiwa vile ambavyo mimi sipendi nami niwe kwenu vile ambavyo ninyi hampendi, bali, badala yake, kwa njia fulani inaelekea kutakuwa na mizozo, wivu,+ milipuko ya hasira, magomvi, masengenyo, manong’onezo, majivuno, machafuko.+
-
-
2 Wakorintho 12:20Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
20 Kwa maana naogopa kwamba kwa njia fulani, niwasilipo, huenda nikawapata nyinyi si kama vile ambavyo mimi ningeweza kutaka na huenda nikathibitika kwenu kuwa si kama ambavyo nyinyi mngeweza kutaka, bali, badala ya hivyo, kwa njia fulani yaelekea kutakuwa na zogo, wivu, visa vya hasira, magomvi, masengenyo, manong’onezo, visa vya kuwa wenye kututumuka, mivurugo.
-