Methali 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kabla ya kuanguka moyo wa mwanadamu huwa na kiburi,+ na kabla ya utukufu kuna unyenyekevu.+ Methali 29:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Majivuno ya mtu wa udongo yatamshusha,+ lakini yeye aliye na roho ya unyenyekevu atapata utukufu.+ Luka 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana kila mtu anayejiinua atanyenyekezwa na yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+ Yakobo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jinyenyekezeni machoni pa Yehova,+ naye atawainua ninyi.+
23 Majivuno ya mtu wa udongo yatamshusha,+ lakini yeye aliye na roho ya unyenyekevu atapata utukufu.+