Methali 29:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Majivuno ya mtu wa udongo yatamshusha,+ lakini yeye aliye na roho ya unyenyekevu atapata utukufu.+ Mathayo 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yeyote yule anayejiinua atanyenyekezwa,+ na yeyote yule anayejinyenyekeza atainuliwa.+
23 Majivuno ya mtu wa udongo yatamshusha,+ lakini yeye aliye na roho ya unyenyekevu atapata utukufu.+