Methali 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kumwogopa Yehova ni nidhamu ya hekima,+ na kabla ya utukufu hutangulia unyenyekevu.+ Methali 22:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Matokeo ya unyenyekevu na kumwogopa Yehova ni utajiri na utukufu na uzima.+ Methali 29:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Majivuno ya mtu wa udongo yatamshusha,+ lakini yeye aliye na roho ya unyenyekevu atapata utukufu.+ Luka 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana kila mtu anayejiinua atanyenyekezwa na yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+ 1 Petro 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni+ kwa wanaume wazee. Lakini ninyi nyote jifungeni unyenyekevu wa akili kuelekeana ninyi wenyewe,+ kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+
23 Majivuno ya mtu wa udongo yatamshusha,+ lakini yeye aliye na roho ya unyenyekevu atapata utukufu.+
5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni+ kwa wanaume wazee. Lakini ninyi nyote jifungeni unyenyekevu wa akili kuelekeana ninyi wenyewe,+ kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+