2 Na itatukia katika siku za mwisho+ kwamba mlima wa nyumba+ ya Yehova utawekwa imara juu ya kilele cha milima,+ nao utainuliwa juu ya vilima;+ na mataifa yote yatamiminika huko.+
23 Na mwezi mpevu umefedheheka, na jua linaloangaza limeona aibu,+ kwa maana Yehova wa majeshi amekuwa mfalme+ katika Mlima Sayuni+ na katika Yerusalemu na mbele ya wanaume wake wazee kwa utukufu.+
17 Nanyi mtajua ya kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu,+ anayekaa katika Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+ Na Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu;+ wageni nao hawatapita tena kamwe kati yake.+