Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 35:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na hakika kutakuwa na njia kuu hapo,+ ndiyo, njia; nayo itaitwa Njia ya Utakatifu.+ Asiye safi hatapita juu yake.+ Nayo itakuwa kwa ajili ya yule anayetembea katika njia hiyo, wala hakuna wapumbavu watakaotembea huku na huku juu yake.

  • Isaya 60:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Jeuri haitasikiwa tena katika nchi yako, uporaji na mvunjiko ndani ya mipaka yako.+ Na hakika wewe utaziita kuta zako Wokovu+ na malango yako Sifa.

  • Nahumu 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Tazama! Milimani, miguu ya mtu anayeleta habari njema, anayetangaza amani.+ Ee Yuda, fanya sherehe zako.+ Timiza nadhiri zako;+ kwa sababu mtu yeyote asiyefaa kitu hatapita tena kamwe katikati yako.+ Hatakosa kukatiliwa mbali kabisa.”+

  • Zekaria 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na kila chungu cha kupikia chenye mdomo mpana katika Yerusalemu na katika Yuda kitakuwa kitu kitakatifu kwa Yehova wa majeshi, na wale wote wanaotoa dhabihu wataingia na kuchukua kutoka ndani yake na kuchemshia ndani yake.+ Na katika siku hiyo hakutakuwa na Mkanaani+ tena katika nyumba ya Yehova wa majeshi.”+

  • Ufunuo 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Lakini kitu chochote kisicho kitakatifu na yeyote anayeendelea kutenda chukizo+ na uwongo+ hataingia ndani yake hata kidogo;+ watakaoingia ni wale tu walioandikwa katika kile kitabu cha kukunjwa cha uzima cha Mwana-Kondoo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki