-
Zekaria 14:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Na kila chungu cha kupikia chenye mdomo mpana katika Yerusalemu na katika Yuda kitakuwa kitu kitakatifu kwa Yehova wa majeshi, na wale wote wanaotoa dhabihu wataingia na kuchukua kutoka ndani yake na kuchemshia ndani yake.+ Na katika siku hiyo hakutakuwa na Mkanaani+ tena katika nyumba ya Yehova wa majeshi.”+
-