Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 35:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na hakika kutakuwa na njia kuu hapo,+ ndiyo, njia; nayo itaitwa Njia ya Utakatifu.+ Asiye safi hatapita juu yake.+ Nayo itakuwa kwa ajili ya yule anayetembea katika njia hiyo, wala hakuna wapumbavu watakaotembea huku na huku juu yake.

  • Ezekieli 44:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “ ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Hakuna mgeni yeyote, ambaye hajatahiriwa moyoni na ambaye hajatahiriwa katika mwili, atakayeingia ndani ya patakatifu pangu, yaani, mgeni yeyote aliye katikati ya wana wa Israeli.” ’+

  • Ufunuo 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Lakini kitu chochote kisicho kitakatifu na yeyote anayeendelea kutenda chukizo+ na uwongo+ hataingia ndani yake hata kidogo;+ watakaoingia ni wale tu walioandikwa katika kile kitabu cha kukunjwa cha uzima cha Mwana-Kondoo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki