8 Na hakika kutakuwa na njia kuu hapo,+ ndiyo, njia; nayo itaitwa Njia ya Utakatifu.+ Asiye safi hatapita juu yake.+ Nayo itakuwa kwa ajili ya yule anayetembea katika njia hiyo, wala hakuna wapumbavu watakaotembea huku na huku juu yake.
9 “ ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Hakuna mgeni yeyote, ambaye hajatahiriwa moyoni na ambaye hajatahiriwa katika mwili, atakayeingia ndani ya patakatifu pangu, yaani, mgeni yeyote aliye katikati ya wana wa Israeli.” ’+
27 Lakini kitu chochote kisicho kitakatifu na yeyote anayeendelea kutenda chukizo+ na uwongo+ hataingia ndani yake hata kidogo;+ watakaoingia ni wale tu walioandikwa katika kile kitabu cha kukunjwa cha uzima cha Mwana-Kondoo.+