Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na kutakuwa na njia kuu+ kutoka Ashuru kwa ajili ya mabaki+ ya watu wake watakaobaki,+ kama ilivyokuwapo njia kwa ajili ya Israeli siku ile alipokuwa akiondoka katika nchi ya Misri.

  • Isaya 49:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nitaifanya milima yangu yote kuwa njia, na njia zangu kuu zitakuwa juu ya mwinuko.+

  • Isaya 62:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tokeni nje, tokeni nje kupitia malango. Fungueni njia ya watu.+ Fanyeni matuta, fanyeni matuta kwa ajili ya njia kuu. Ondoeni mawe juu yake.+ Inueni ishara kwa ajili ya vikundi vya watu.+

  • Yeremia 31:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Jisimamishie alama za barabara. Jiwekee vibao vya ishara.+ Kaza moyo wako juu ya njia kuu, njia ambayo utaiendea.+ Rudi, Ee bikira wa Israeli. Rudi kwenye haya majiji yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki