Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 27:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na itatukia katika siku ile kwamba baragumu kubwa itapigwa,+ na wale wanaoangamia katika nchi ya Ashuru+ na wale waliotawanyika katika nchi ya Misri+ hakika watakuja na kumwinamia+ Yehova kwenye mlima mtakatifu katika Yerusalemu.+

  • Isaya 35:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na hakika kutakuwa na njia kuu hapo,+ ndiyo, njia; nayo itaitwa Njia ya Utakatifu.+ Asiye safi hatapita juu yake.+ Nayo itakuwa kwa ajili ya yule anayetembea katika njia hiyo, wala hakuna wapumbavu watakaotembea huku na huku juu yake.

  • Isaya 49:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Tazama! Hawa watakuja kutoka mbali,+ na, tazama! hawa kutoka kaskazini+ na kutoka magharibi,+ na hawa kutoka katika nchi ya Sinimu.”

  • Yeremia 31:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Jisimamishie alama za barabara. Jiwekee vibao vya ishara.+ Kaza moyo wako juu ya njia kuu, njia ambayo utaiendea.+ Rudi, Ee bikira wa Israeli. Rudi kwenye haya majiji yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki