13 Na itatukia katika siku ile kwamba baragumu kubwa itapigwa,+ na wale wanaoangamia katika nchi ya Ashuru+ na wale waliotawanyika katika nchi ya Misri+ hakika watakuja na kumwinamia+ Yehova kwenye mlima mtakatifu katika Yerusalemu.+
8 Na hakika kutakuwa na njia kuu hapo,+ ndiyo, njia; nayo itaitwa Njia ya Utakatifu.+ Asiye safi hatapita juu yake.+ Nayo itakuwa kwa ajili ya yule anayetembea katika njia hiyo, wala hakuna wapumbavu watakaotembea huku na huku juu yake.
21 “Jisimamishie alama za barabara. Jiwekee vibao vya ishara.+ Kaza moyo wako juu ya njia kuu, njia ambayo utaiendea.+ Rudi, Ee bikira wa Israeli. Rudi kwenye haya majiji yako.+