Isaya 27:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Siku hiyo pembe kubwa itapigwa,+ na wale wanaoangamia katika nchi ya Ashuru+ na wale waliotawanywa katika nchi ya Misri+ watakuja na kumwinamia Yehova kwenye mlima mtakatifu huko Yerusalemu.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 27:13 ip-1 285 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 27:13 Unabii wa Isaya 1, uku. 285
13 Siku hiyo pembe kubwa itapigwa,+ na wale wanaoangamia katika nchi ya Ashuru+ na wale waliotawanywa katika nchi ya Misri+ watakuja na kumwinamia Yehova kwenye mlima mtakatifu huko Yerusalemu.+