Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Na watu wa mataifa mengi wataenda na kusema:

      “Njooni, twendeni juu kwenye mlima wa Yehova,

      Kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo.+

      Naye atatufundisha njia zake,

      Nasi tutatembea katika vijia vyake.”+

      Kwa maana sheria itatoka* Sayuni,

      Na neno la Yehova litatoka Yerusalemu.+

  • Isaya 25:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Katika mlima huu+ Yehova wa majeshi atawaandalia watu wa mataifa yote

      Karamu ya vyakula vinono,+

      Karamu ya divai bora,*

      Ya vyakula vinono vilivyojazwa urojorojo,

      Ya divai bora, iliyochujwa.

  • Isaya 52:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Amka! Amka! Jivike nguvu,+ ewe Sayuni!+

      Vaa mavazi yako maridadi,+ ewe Yerusalemu, jiji takatifu!

      Kwa maana mtu ambaye hajatahiriwa na mtu asiye safi hawataingia ndani yako tena.+

  • Yeremia 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wakati huo wataliita Yerusalemu kiti cha ufalme cha Yehova;+ na mataifa yote yatakusanywa pamoja kwa jina la Yehova katika Yerusalemu,+ nao hawataufuata tena kwa ukaidi moyo wao mwovu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki