Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 35:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Na huko kutakuwa na barabara kuu,+

      Naam, njia inayoitwa Njia ya Utakatifu.

      Mtu asiye safi hatasafiri kwenye njia hiyo.+

      Imetengwa kwa ajili ya yule anayetembea katika njia hiyo;

      Hakuna mtu yeyote mpumbavu atakayepotea na kuingia katika njia hiyo.

  • Isaya 60:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na watu wako wote watakuwa waadilifu;

      Wataimiliki nchi milele.

      Wao ndio chipukizi nililopanda,

      Kazi ya mikono yangu,+ ili nirembeshwe.+

  • Ufunuo 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Lakini chochote kilicho najisi na yeyote anayetenda mambo yanayochukiza na ya udanganyifu hataingia kamwe humo;+ watakaoingia ni wale tu walioandikwa katika kile kitabu cha kukunjwa cha uzima cha Mwanakondoo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki