Hagai 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “‘Lakini sasa jipe moyo Zerubabeli,’ asema Yehova, ‘jipe moyo Yoshua mwana wa Yehosadaki, kuhani mkuu.’ “‘Nanyi watu wote wa nchi, jipeni moyo,’+ asema Yehova, ‘na mfanye kazi.’ “‘Kwa maana niko pamoja nanyi,’+ asema Yehova wa majeshi.
4 “‘Lakini sasa jipe moyo Zerubabeli,’ asema Yehova, ‘jipe moyo Yoshua mwana wa Yehosadaki, kuhani mkuu.’ “‘Nanyi watu wote wa nchi, jipeni moyo,’+ asema Yehova, ‘na mfanye kazi.’ “‘Kwa maana niko pamoja nanyi,’+ asema Yehova wa majeshi.