Kutoka 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mungu akamwambia: “Nitathibitika kuwa pamoja nawe,+ na hii ndiyo ishara itakayoonyesha kwamba ni mimi niliyekutuma: Baada ya kuwatoa Waisraeli nchini Misri, ninyi mtanitumikia* mimi, Mungu wa kweli, kwenye mlima huu.”+ Isaya 43:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Unapopita katika maji, nitakuwa pamoja nawe,+Na unapopita katika mito, haitafurika na kukufunika.+ Unapotembea katika moto, hutateketea,Wala mwali wa moto hautakuunguza. Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
12 Mungu akamwambia: “Nitathibitika kuwa pamoja nawe,+ na hii ndiyo ishara itakayoonyesha kwamba ni mimi niliyekutuma: Baada ya kuwatoa Waisraeli nchini Misri, ninyi mtanitumikia* mimi, Mungu wa kweli, kwenye mlima huu.”+
2 Unapopita katika maji, nitakuwa pamoja nawe,+Na unapopita katika mito, haitafurika na kukufunika.+ Unapotembea katika moto, hutateketea,Wala mwali wa moto hautakuunguza.
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+