Kumbukumbu la Torati 31:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kisha akamweka* Yoshua+ mwana wa Nuni kuwa kiongozi na kusema: “Uwe jasiri na imara,+ kwa sababu ni wewe utakayewaingiza Waisraeli katika nchi ambayo nimewaapia,+ nami nitaendelea kuwa pamoja nawe.” Yoshua 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hakuna yeyote atakayekushinda sikuzote za maisha yako.+ Nitakuwa pamoja nawe kama nilivyokuwa pamoja na Musa.+ Sitakutupa wala kukuacha.+ Isaya 41:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+ Wafilipi 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa mambo yote nina nguvu kupitia yule anayenipa nguvu.+
23 Kisha akamweka* Yoshua+ mwana wa Nuni kuwa kiongozi na kusema: “Uwe jasiri na imara,+ kwa sababu ni wewe utakayewaingiza Waisraeli katika nchi ambayo nimewaapia,+ nami nitaendelea kuwa pamoja nawe.”
5 Hakuna yeyote atakayekushinda sikuzote za maisha yako.+ Nitakuwa pamoja nawe kama nilivyokuwa pamoja na Musa.+ Sitakutupa wala kukuacha.+
10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+