12 Mungu akamwambia: “Nitathibitika kuwa pamoja nawe,+ na hii ndiyo ishara itakayoonyesha kwamba ni mimi niliyekutuma: Baada ya kuwatoa Waisraeli nchini Misri, ninyi mtanitumikia* mimi, Mungu wa kweli, kwenye mlima huu.”+
7 Ndipo Yehova akamwambia Yoshua: “Leo nitaanza kukukweza machoni pa Waisraeli wote,+ ili wajue kwamba nitakuwa pamoja nawe+ kama nilivyokuwa pamoja na Musa.+