12 Mungu akamwambia: “Nitathibitika kuwa pamoja nawe,+ na hii ndiyo ishara itakayoonyesha kwamba ni mimi niliyekutuma: Baada ya kuwatoa Waisraeli nchini Misri, ninyi mtanitumikia* mimi, Mungu wa kweli, kwenye mlima huu.”+
31 Pia Waisraeli waliona nguvu nyingi ambazo* Yehova alidhihirisha dhidi ya Wamisri, basi watu wakaanza kumwogopa Yehova na kuwa na imani katika Yehova na Musa mtumishi wake.+