Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 40:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yeye humpa nguvu mtu aliyechoka

      Na kuwapa uwezo kamili wale wasio na nguvu.*+

  • 2 Wakorintho 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hata hivyo, tuna hazina hii+ katika vyombo vya udongo,*+ ili nguvu zinazopita zile za kawaida ziwe za Mungu na si kutoka kwetu.+

  • 2 Wakorintho 12:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini akaniambia: “Fadhili zangu zisizostahiliwa zinakutosha, kwa kuwa nguvu zangu zinakamilika katika udhaifu.”+ Kwa furaha zaidi, basi, nitajisifu kuhusu udhaifu wangu, ili nguvu za Kristo zibaki juu yangu kama hema. 10 Basi ninapendezwa na udhaifu, na matusi, na nyakati za uhitaji, na mateso na shida, kwa ajili ya Kristo. Kwa maana ninapokuwa dhaifu, ndipo ninapokuwa na nguvu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki