Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 29:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova atawapa nguvu watu wake.+

      Yehova atawabariki watu wake kwa amani.+

  • Isaya 40:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Inueni macho yenu mbinguni mwone.

      Ni nani aliyeviumba vitu hivi?+

      Ni Yule anayelileta nje jeshi lao kwa hesabu;

      Huziita zote kwa majina.+

      Kwa sababu ya nguvu zake nyingi zenye msukumo na nguvu zake zenye kuogopesha,+

      Hakuna hata moja inayokosekana.

  • Wafilipi 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa mambo yote nina nguvu kupitia yule anayenipa nguvu.+

  • Waebrania 11:33, 34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kupitia imani walishinda falme,+ wakaleta uadilifu, wakapata ahadi,+ wakaziba vinywa vya simba,+ 34 wakazima nguvu za moto,+ wakaponyoka makali ya upanga,+ wakafanywa kuwa wenye nguvu kutoka kwenye hali ya udhaifu,+ wakawa mashujaa katika vita,+ wakayashinda kabisa majeshi ya wavamizi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki