12 Wamidiani na Waamaleki na watu wote wa Mashariki+ walikuwa wamejaa bondeni nao walikuwa wengi kama nzige, na ngamia wao hawangeweza kuhesabiwa,+ walikuwa wengi kama chembe za mchanga kwenye ufuo wa bahari.
22 Wanaume hao 300 wakaendelea kupiga pembe,* na Yehova akawafanya waanze kuuana wao kwa wao katika kambi yote;+ na jeshi likakimbia hadi Beth-shita, likafika Serera, hadi mpakani mwa Abel-mehola+ karibu na Tabathi.